Thursday, 13 November 2014

Msiba wa Geez Mabovu: Young Killer aahirisha kuachia video ya 13 leo

Young killer ametangaza kuahirisha kuachia video ya wimbo wake wa '13' aliomshirikisha Fid Q kufuatia msiba wa rapper Geez Mabovu uliotokea jana usiku



video hiyo ilitakiwa iachiwe alhamisi ya leo hii. Kupitia instagram killer amesema video hyo sasa itaachiwa wiki ijayo

No comments:

Post a Comment