Friday, 2 May 2014

Stopa adai muziki wa tanzania humeingiliwa na mdudu rushwa na ushikaji

Msanii toka pande za arusha stopa rhymes kuwa muziki wa tanzania humeingiwa na mdudu rushwa na ushikaji ambao hunawaathiri wasanii wengi

Stopa ameiambia blog hii kuwa huweza ukaumiza sana kichwa kuandaa mashairi lakini ukatoka patupu kutokana na muundo wa muziki wa sasa


:kuna wakati hunafikia hunajiuliza kuwa huu muziki ukoje' hunaandika mashair hunaumiza kichwa lakini hunakuta tofauti na  watu na muziki wa tanzania sasa hivi humeingiwa na mdudu uushikaji na kitu kimoja kinaitwa rushwa

ambacho kinadhoofisha muziki wetu pamoja na wasanii,: alisema pia  amedai kuwa baada ya kuona muziki humekuwa ndivyo sivyo amejipanga na kuanzisha biashara ndogondogo ambzo zinatoka na muziki wake.

biashara ya t_shirt na album zimenisaidia sana; nimekuwa nikituma katika mikoa mbalimbali na mauzo kusema kweli yanatia moyo na zinaweza zikakuendeshea maisha yako vizuri tofauti na hata pesa za show  ambazo sometimes zinakuwa za majungu, kwamba hunatangazika ila huanchopata ni kidogo, kwahiyo niaendeleza harakati za muziki na huku nikifanya biashara ya t_shirt na album wangu ambazo natoa

No comments:

Post a Comment